• Breaking News

    Mbinda Technologies: Miliki blog yako mwenyewe kwa gharama nafuu kabisa


    Je wajua ya kuwa waweza kumiliki blog yako mwenyewe??, 
    Je wajua waweza kujiingizia kipato kupitia blog na kufanya kipato chako kuongezeka??, 
    Je wajua waweza kutangaza biashara yako kwa kupitia blog??,
    Je wajua waweza kuitangaza taasisi yako na watu wakaifahamu kupitia blog??,
    Je wajua waweza kuitangaza shule na kutunza taarifa za wanafunzi wako kupitia blogs??

    Sasa mbinda technologies tumekuja na suluhu ya maswali yako. Tunatengeneza blogs mbalimbali kwa matumizi mbalimbali, mfano biashara, habari, michezo, masuala ya ajira, blogs za taasisi, blogs za mashule n.k

    Mbinada Technologies tuna wataalamu waliobobea katika masuala ya kiteknolojia hasa masuala ya web and blogs designing.

    Mbinda Technologies tumelenga kukuinua wewe Mtanzania wa hali ya chini au juu ambae huna uwezo wa kumiliki website ambazo zinatengenezwa kwa gharama ya hali ya juu.

    Sasa miliki blog yako mwenyewe sasa kwa gharama nafuu kabisa ya Tshs 30,000/=. Garama hiyo inajumuisha vitu (Package) zifuatazo;

    1. Kufungua e mail account
    2. Kufungua blog
    3. Kuweka muonekano uutakao (Template) 
    4. kuunganisha blog yako na page yako ya facebook
    5. kuweka Facebook auto share bots kwenye time line yako, yaani hapa inakupunguzi mzigo wa kushare post yako facebook kila unapopost kwani hizo Bots zinakuwa zinapost automatic
    6. kuweka facebook auto share bots kwenye page yako, yaani punde utakapo post kwenye blog habari itapostiwa kwenye page yako automatic
    7. kuweka facebook groups auto share bots, yaani utakapopost kwenye blog, habari itajipost kweye magroup unayoyamiliki ya facebook automatic
    8. kuweka twitter autoshare bots, yaani ukipost kwenye blog habari itajipost kwenye account yako ya twitter automatic
    9. KUWEKA BOTS ZA KUKOPY KUTOKA BLOG NYINGINE KUJA KWAKO PUNDE TU WANAPO POST KWENYE BLOG ZAO. HII INAWAHUSU WALE WALIO BUSSY SANA NA WALE WAVIVUU WA KUANDIKA.
    10. Masomo ya jinsi ya kupost na kuiendesha blog
    11. Na mengine mengi


    Mfano wa blog ambazo unaweza ukazimiliki ni kama zifuatazo

    10: na nyinginezo nyingi.


    KUMBUKA HUDUMA ZETU NI ZA UHAKIKA NA UTALIPA  BAADA YA KURIDHIKA NA HUDUMA


    KWA MAWASILIANO WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBARI  -  0767973853

    Au barua pepe kwenda - mbinda74@gmail.com


    KARIBUNI SANA MBINDA TECHNOLOGIES

    No comments